Rais Samia Suluhu Hassan, leo Juni, 25.2021 amezungumza na viongozi wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania TEC.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 25 Juni, 2021 amezungumza na viongozi wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania na kueleza kuwa Taaisisi za Dini nchini ni muhimu kwa kuwa zina mchango mkubwa katika kudumisha amani, kustawisha maisha ya wananchi na kupambana na umasikini. Mhe. Rais Samia amewasihi Watanzania