Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 25 Juni, 2021 amezungumza na viongozi wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania na kueleza kuwa Taaisisi za Dini nchini ni muhimu kwa kuwa zina mchango mkubwa katika kudumisha amani, kustawisha maisha ya wananchi na kupambana na umasikini. Mhe. Rais Samia amewasihi Watanzania
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed